SIMU YA TOCHI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2014
- 1,385
- 894
Kuna mgombea yeyote wa upinzani wa kumtetemesha Kitwanga katika chaguzi wa mwaka huu? ongea kihalisia sio kishabiki
kitwanga akatwange vinu sasa wanaojua uongozi wanaingia uongozini
Kuna mgombea yeyote wa upinzani wa kumtetemesha Kitwanga katika chaguzi wa mwaka huu? ongea kihalisia sio kishabiki
Ukweli ulivyo kitwanga anashinda,mgombea wa chadema/ukawa hana hata uwezo wa kufanya kampeni,anazidiwa na madiwani. Hapo chadema walichemsha,pamoja na kupewa taarifa juu ya uwezo wa mgombea,wao hawakusikia.
Hawa watoto ndio wapiga kura au mmhemko tu
Kitwanga kasha shindwa mapemaa hana kitu pale misungwi bado maji shida magonjwa njaa