TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
Misukule wa kisiasa Tanzania sasa Tanzania wanakera, hawa ni Wale waliopewa heshima na Wananchi kuwawakilisha, lakini wanaweka akili zao mfukoni na kuanza kumfuata individual. Wako tayari kufanya kila wawezalo ili awape pumba! Au angalau tu Wamwone akitabasamu.
Hawa, wanayemwabudu, hata kama wakimkuta akila nyama ya Mtu, Utasikia, " Nianze kwa kumpongeza Mkuu kwa Nyama anazokula siku hizi" pia ningempongeza kwa " Kupiga chafya, hapa kasi tu!" Yaani Hii misukule inavyopigana vikumbo kuwa wakwanza kuonekana na "Their Owner" Inabidi uipishe haraka
Hii ndiyo Tanzania ya aibu tuliyofikia! The Land of the Living Dead 2 or The Zombie Return! 2
Hawa, wanayemwabudu, hata kama wakimkuta akila nyama ya Mtu, Utasikia, " Nianze kwa kumpongeza Mkuu kwa Nyama anazokula siku hizi" pia ningempongeza kwa " Kupiga chafya, hapa kasi tu!" Yaani Hii misukule inavyopigana vikumbo kuwa wakwanza kuonekana na "Their Owner" Inabidi uipishe haraka
Hii ndiyo Tanzania ya aibu tuliyofikia! The Land of the Living Dead 2 or The Zombie Return! 2