Tujitahid sana kununua tv org ila imekua ni changamoto kubwa kuzipata Tanzania , best soln muagize aidha Nje hasa Uchina kwenye verified stoo au huko Nairobi
Jamani muelewe swali, ishu sio kwamba TV sio original, au point of purchase, ameukiza, mistari kama alivyoonyesha hapo, TV yake ni OG. Hata yangu ni OG. Sasa swali lake hiyo mistari inasababishwa na nini? Kwa mtaalamu atakumbia ni abcd. Ila ambae hana jibu atasema nunua original, kwani yeye amesema sio original?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.