Mistakes you cant take back...

Mistakes you cant take back...

.. sijaajiriwa.. na sifanyi shughuri inayoendana na fani niliyosemea ila elimu ndyo imenifungulia mrango wa shughuri ninayofanya sasa mpaka sasa naamini kila kitu hutokea kwa sababu fulani.. usiidharau elimu yako , unaambiwa elimu ni yale yaliyosalia baada ya kusahau kila kitu.. tumia kaelimu uliko bakiwa nako kanaweza kukutoa ukamake wonders umiza kichwa hauta jilaumu tena

Tafuta mistake nyingine. Kwenye elimu haujafanya mistake
Kuwekeza nguvu kwenye elimu kwa kuamini elimu ni Bora kuliko fedha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.. sijaajiriwa.. na sifanyi shughuri inayoendana na fani niliyosemea ila elimu ndyo imenifungulia mrango wa shughuri ninayofanya sasa mpaka sasa naamini kila kitu hutokea kwa sababu fulani.. usiidharau elimu yako , unaambiwa elimu ni yale yaliyosalia baada ya kusahau kila kitu.. tumia kaelimu uliko bakiwa nako kanaweza kukutoa ukamake wonders umiza kichwa hauta jilaumu tena

Tafuta mistake nyingine. Kwenye elimu haujafanya mistake

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni mistake kutokana na muda aliopeteza na uwekezaji usiokuwa na return
 
.. sijaajiriwa.. na sifanyi shughuri inayoendana na fani niliyosemea ila elimu ndyo imenifungulia mrango wa shughuri ninayofanya sasa mpaka sasa naamini kila kitu hutokea kwa sababu fulani.. usiidharau elimu yako , unaambiwa elimu ni yale yaliyosalia baada ya kusahau kila kitu.. tumia kaelimu uliko bakiwa nako kanaweza kukutoa ukamake wonders umiza kichwa hauta jilaumu tena

Tafuta mistake nyingine. Kwenye elimu haujafanya mistake

Sent using Jamii Forums mobile app
Shuguri = Shughuli


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shuguri = Shughuli


Sent using Jamii Forums mobile app
20200222_072509.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
sure inauma sana mkuu.. tatizo tuliishi miaka mingi tukikariri kwamba ukisoma umeshayaweza maisha na lazima uajiriwe + mitaala mibovu imewaanda vijana kuajiriwa, mtu anasoma akili yake jnwaza kufanya kazi za watu tuu.. lazime liwe tatizo.
Inaumiza sana unawekeza good twenty milion kwenye elimu badala ya kufanya mirad mwishowe unabaki mtaani jobless na mikopo kama yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom