Mistakes you cant take back...

Mistakes you cant take back...

.. sijaajiriwa.. na sifanyi shughuri inayoendana na fani niliyosemea ila elimu ndyo imenifungulia mrango wa shughuri ninayofanya sasa mpaka sasa naamini kila kitu hutokea kwa sababu fulani.. usiidharau elimu yako , unaambiwa elimu ni yale yaliyosalia baada ya kusahau kila kitu.. tumia kaelimu uliko bakiwa nako kanaweza kukutoa ukamake wonders umiza kichwa hauta jilaumu tena

Tafuta mistake nyingine. Kwenye elimu haujafanya mistake

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi
 
nafikiri hili swala la kwenda shule kukariri kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo miakaa kibaooo bila kuelimika ni ni tatizo kubwa sana kwa nchi zetu za Africa
 
Kuwekeza nguvu kwenye elimu kwa kuamini elimu ni Bora kuliko fedha

Sent using Jamii Forums mobile app
Makosa ni kuto kupata elimu sahihi ya mahitaji yako...
unawezeka kuta ww ni mkaanga chips ilitakiwa upewe elimu nzuri ya kukaanga chipsi,usafi na bishara...
huo ni mfano....
unless mniambie hamjui maana ya elimu!!!
 
.. sijaajiriwa.. na sifanyi shughuri inayoendana na fani niliyosemea ila elimu ndyo imenifungulia mrango wa shughuri ninayofanya sasa mpaka sasa naamini kila kitu hutokea kwa sababu fulani.. usiidharau elimu yako , unaambiwa elimu ni yale yaliyosalia baada ya kusahau kila kitu.. tumia kaelimu uliko bakiwa nako kanaweza kukutoa ukamake wonders umiza kichwa hauta jilaumu tena

Tafuta mistake nyingine. Kwenye elimu haujafanya mistake

Sent using Jamii Forums mobile app
R
L

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuchelewa kufanya mapenzi!kisa eti nasoma kwanza!nikawakosa madem wakali waliokuwa wananipenda!na sasa nimeangukia pua!!!NAJUTA SANA MAZEE!BORA NINGEWALA TU WALE!!!VIJANA WADOGO FANYENI MAPENZI SASA USISUBIRI BADAE!!ELIMU YENYEWE YA KISANDONGA TU HII!!!!
 
sure inauma sana mkuu.. tatizo tuliishi miaka mingi tukikariri kwamba ukisoma umeshayaweza maisha na lazima uajiriwe + mitaala mibovu imewaanda vijana kuajiriwa, mtu anasoma akili yake jnwaza kufanya kazi za watu tuu.. lazime liwe tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app

upo mtaalamu wangu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom