Kwa sisi wataalamu wa kuangalia tunatazama macho, vidole vya mikono na miguu na akitembea kidogo tu, unaipata formula huyu mwanadada yupo kundi gani la uzuri na shepu, hii mpaka uwe mtaalamu mkuu la sivyo unaweza kuuziwa mbuzi kwenye gunia
Hii kwa ujuzi wangu mdogo ni maoni ya kisheria ya kiislamu. Mara nyingi tumezoea kucichukulia kama hukumu ya adhabu kwa aliye vunja sharia. Wenyewe watakuwa na maelezo mazuri zaidi