Chris_Mambo JF-Expert Member Aug 11, 2010 596 119 Sep 23, 2011 #4 How much does she weigh? What... 29kg? Ooh my god! She is out of BMI range!!....!!!
U uporoto01 JF-Expert Member May 23, 2008 4,700 1,415 Sep 23, 2011 #5 Hii fashion show ilifanyika kwenye wodi gani ?
Ruge Opinion JF-Expert Member Mar 22, 2006 1,838 701 Sep 23, 2011 #6 Is this supposed to be appealing to fashion fans? Thank God I am not one of them.
Amyner JF-Expert Member Jul 13, 2011 2,397 877 Sep 23, 2011 #9 Wakaka si mnapenda portables nyie.. Haya portable hiyo unabeba hata kwa kidole!
D Dr Kingu Senior Member Jun 13, 2011 154 43 Sep 23, 2011 #10 Mchina yupo juu anakupa kila unachohitaji.
Jestina JF-Expert Member Jan 6, 2011 4,831 1,707 Sep 23, 2011 #11 nataka kuwa kama yeye,nifanyeje? maana hiki kitambi noma ila chips mayai siachi ng'o lol
Memo JF-Expert Member Jan 17, 2011 2,157 760 Sep 23, 2011 #12 uporoto01 said: Hii fashion show ilifanyika kwenye wodi gani ? Click to expand... Asee!!! hahahahahaaa!!!! huyo hata nipewe na zile suti za jakaya, na kulipiwa ''guest rooms for private events'' pale Kempisky sitaki!!
uporoto01 said: Hii fashion show ilifanyika kwenye wodi gani ? Click to expand... Asee!!! hahahahahaaa!!!! huyo hata nipewe na zile suti za jakaya, na kulipiwa ''guest rooms for private events'' pale Kempisky sitaki!!
Memo JF-Expert Member Jan 17, 2011 2,157 760 Sep 23, 2011 #13 monique said: nataka kuwa kama yeye,nifanyeje? maana hiki kitambi noma ila chips mayai siachi ng'o lol Click to expand... usijaribu!! utaanza kusema una nuksi bureee!! hutapata ''dada habari yako'' kutoka kwa njemba!!
monique said: nataka kuwa kama yeye,nifanyeje? maana hiki kitambi noma ila chips mayai siachi ng'o lol Click to expand... usijaribu!! utaanza kusema una nuksi bureee!! hutapata ''dada habari yako'' kutoka kwa njemba!!
Anko Sam JF-Expert Member Jun 30, 2010 3,200 820 Sep 23, 2011 #14 Huyu dizaini gani mbona hana paja? Migodi ya namna hii ni open pit, ina mashimo makubwa unaingia na gari bila kugusa kuta zake!
Huyu dizaini gani mbona hana paja? Migodi ya namna hii ni open pit, ina mashimo makubwa unaingia na gari bila kugusa kuta zake!