Miss neddy is HOT!! Kudaadeki!!

Sooo hot kulaleki ndo mana king Excel anaruka mito na mabonde kwa ajil ya huyu mrembo
 
Last edited by a moderator:
Weee hujui fashion za wadada wa bongo now days wana vitambi kama wanaume.
..raha ya tumbo kubwa yake top na mkanda


Kwa hayo matumbo nadhani nikirudi sokoni nitakosa mchumba.....

Ngoja nisiseme mengi ila wajukuu zangu wanapaswa kupambana sana na hivyo vitambi vya chips na nyama choma!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hayo matumbo nadhani nikirudi sokoni nitakosa mchumba.....

Ngoja nisiseme mengi ila wajukuu zangu wanapaswa kupambana sana na hivyo vitambi vya chips na nyama choma!

Ungepata shida kupata mchumba
Waambie wajukuu wapambane na wasiogope kusema ukweli kuwa hampendez na vitambi
 
Ungepata shida kupata mchumba
Waambie wajukuu wapambane na wasiogope kusema ukweli kuwa hampendez na vitambi


Ndiyo nawambia namna hii....

Kwa kweli hata binti angekuwa mzuri kiasi gani, kitambi kinaharibu kila kitu.

Bahati nzuri ni kitu ambacho kinatibika au kuzuiliwa kirahisi. Ndiyo maana siku hizi hata wanaume wenye vitambi wamepungua sana!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…