Miss Ilala 2009

  • Thread starter Thread starter MegaPyne
  • Start date Start date
FairPlayer unajifagilia tu hauna lolote na huo uwezo wa kuwa na huyu bint hauna unafaidi tu kwa macho kama wanaJf waliomwengi hapa. Jipe moyo labda kuna siku utakuja kamua maziwa.
 
Yo Yo upo mkuu?

kashinda halafu huyu mtoto pamoja na kujikanganya kidogo kwenye kujibu pale,ila hata wangenipa mimi nafasi ya kuchagua angeshinda...actually naona anafaa kurithi u'miss tz wenyewe..booonge la mtoto!
 
kashinda halafu huyu mtoto pamoja na kujikanganya kidogo kwenye kujibu pale,ila hata wangenipa mimi nafasi ya kuchagua angeshinda...actually naona anafaa kurithi u'miss tz wenyewe..booonge la mtoto!

sijaona. una maana shally kashinda?
 

wakuu naona utabiri wangu unaelekea kuwa kweli. toto limetulia ila hatujajua ya ndani
 
Jamani wenzangu wamenizidi ulimbwende?
 
hivi hakuna memba wa jamiiforum hata mmoha kati yao kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…