FairPlayer unajifagilia tu hauna lolote na huo uwezo wa kuwa na huyu bint hauna unafaidi tu kwa macho kama wanaJf waliomwengi hapa. Jipe moyo labda kuna siku utakuja kamua maziwa.
kashinda halafu huyu mtoto pamoja na kujikanganya kidogo kwenye kujibu pale,ila hata wangenipa mimi nafasi ya kuchagua angeshinda...actually naona anafaa kurithi u'miss tz wenyewe..booonge la mtoto!
kashinda halafu huyu mtoto pamoja na kujikanganya kidogo kwenye kujibu pale,ila hata wangenipa mimi nafasi ya kuchagua angeshinda...actually naona anafaa kurithi u'miss tz wenyewe..booonge la mtoto!
Duuu! Naona Macho ya wengi yamemuona Mdada Sylvia Frank Shally....Usiku wa kuamkia leo amechaguliwa kuwa Miss Ilala 2009 na Miss Issa Michuzi Photogenic 2009 na amejinyakulia kitita cha Tshs 500,000/= Kila la Kheri Miss Ilala katika kinyang'anyiro cha Miss Tanzania.