Misri na Saudi Arabia kuunganishwa kwa daraja

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
7,392
10,863
Mfalme Salman wa Saudia amesema makubaliano yamefikiwa na Misri kujenga daraja litakalopita juu ya Bahari Nyeusi na kuziunganisha nchi hizo mbili.

Amesema hatua hiyo inakuza mahusiano ya kibiashara baina ya nchi hizo mbili. ALJAZEERA
 

Attachments

  • Strait_tiran_83.jpg
    Strait_tiran_83.jpg
    128.8 KB · Views: 75
Dunia ni kijiji kwa sasa hivyo na sisi tuache bla bla tufikirie namna ya kujenga daraja letu la Dar- Zanzibar maana hakuna namna.

Saudi walishajenga daraja la kukutanisha na Bahrain zamani
 
Hivi kwanini bahari hiyo inaitwa bahari nyeusi, au ni jina tu kama hii iliyo huku kwetu tunaiita bahari hindi.
 
Mfalme Salman wa Saudia amesema makubaliano yamefikiwa na Misri kujenga daraja litakalopita juu ya Bahari Nyeusi na kuziunganisha nchi hizo mbili.

Amesema hatua hiyo inakuza mahusiano ya kibiashara baina ya nchi hizo mbili. ALJAZEERA
Mkuu hiyo avatar yako Dah, kama wewe ni famale sawa ila kama ni male na uko sawa kabisa kimwili unajione kutumia hiyo.
 
Hivi kwanini bahari hiyo inaitwa bahari nyeusi, au ni jina tu kama hii iliyo huku kwetu tunaiita bahari hindi.
Hayo majina waliyatolea ili kujua bahari iko upande gani.

Kwa hiyo Black sea ni North na Red Sea ni South nk
 
Hivi ni kilomita ngapi kutoka hapo misri mpaka saudia Arabia ? Najaribu kulinganisha na hivi la kwetu la kigamboni.
 
Back
Top Bottom