Misitu Yateketea.

Misitu Yateketea.

Abu Hekima

Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
8
Reaction score
0
Tatizo uchomaji moto misitu linazidi kushamili maeneo mbalimbali nchini hasa kipindi hiki cha majira ya kiangazi,ktk Wilaya ya Tandahimba zaidi ekari 2000 zimeteketea ktk msitu wa hifadhi wilayani hapo,Je Mamlaka husika na vyombo vya Habari vinatoa mchango kiasi gani Kuelimisha Jamii yetu ktk kuilinda rasilimali hii muhimu?
 
Wandugu waTZ, amkeni tuache kulala usingizi huu hautatufaa Ng'o !! MSITU na mali na rasiliMali kubwa. Tusidharau
kwani kila mwaka uchomaji moto ukiendelea hivyo hatutabaki na kitu, Jangwa litatawala maeneo nyeti!! WAKE-up CALL.
Ahsante MkuuAbu-el-hekma
 
Back
Top Bottom