Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 3,300
- 6,381
hebu soma kwanza kuanzia mwanzo wa huu Uzi.Kama watakuwepo wenye hizo akili za kukwepa huo unaoita mtego basi wewe sio katika hao.
Umeshindwa kujua kuwa Ukristo sio dini ndio utajua kuhusu Uislam? Hebu tumia kwanza hata mwaka kujua maana ya Ukristo na yaliyomo na kwanini una maagano zaidi ya mawili na sababu za msingi ni zipi ndio sasa uje uambiwe maana ya Uislam
Kama haujauelewa bas jua uelewa wako mdogo sana. au pengne ni mtoto mdogo wa darasa la nne anayekaririshwa madrasa.