Misiba ya wenzetu

Misiba ya wenzetu

mrangi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
93,877
Reaction score
132,143
Utafikiri watu Wako meeting

Ova
IMG-20190125-WA0008.jpg
IMG-20190125-WA0007.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂 kwa massawe pale unakuta spika kubwa 6 kila upande kina ndeyanka, babuu ,samu, nderingo totoliii, wanacheza kamari nje kwa mbali nyimbo ya sedekia , wamama jikoni wanapika vyakula kama ndo siku ya harusi alafu anayefanyiwa sherehe ya mwisho yupo dar hata hajatolewa mochwari ,MTOTO WA KWANZA WA MZEE MASSAWE NI KISHIMBA YUPO BAR NA MATES WAKE WA UTOTONI WANAPOROMOSHA ULABU

HATARIOO
 
kwa massawe pale unakuta spika kubwa 6 kila upande kina ndeyanka, babuu ,samu, nderingo totoliii, wanacheza kamari nje kwa mbali nyimbo ya sedekia , wamama jikoni wanapika vyakula kama ndo siku ya harusi alafu anayefanyiwa sherehe ya mwisho yupo dar hata hajatolewa mochwari ,MTOTO WA KWANZA WA MZEE MASSAWE NI KISHIMBA YUPO BAR NA MATES WAKE WA UTOTONI WANAPOROMOSHA ULABU

HATARIOO
Msiba ukiisha na madeni juu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Misiba yetu ni kuumizana kutiana garama kwa wafiwa,watu Wako kwenye msiba wanaumiza kichwa michango ya uendeshaji msiba

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Halafu hawako proactive rather reactive
Badala ya kuchanga hela mgonjwa akiwa hai apate dawa na matibabu sahihi kuokoa uhai wake badala yake hawafanyi hivyo Ila akishakufa ndo wanakusanyana!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂 kwa massawe pale unakuta spika kubwa 6 kila upande kina ndeyanka, babuu ,samu, nderingo totoliii, wanacheza kamari nje kwa mbali nyimbo ya sedekia , wamama jikoni wanapika vyakula kama ndo siku ya harusi alafu anayefanyiwa sherehe ya mwisho yupo dar hata hajatolewa mochwari ,MTOTO WA KWANZA WA MZEE MASSAWE NI KISHIMBA YUPO BAR NA MATES WAKE WA UTOTONI WANAPOROMOSHA ULABU

HATARIOO
Aisee arifu ,mbona unamwaga mambo ya nyumbani hadharani mkiruu? hayo mambo ni ya wasupuu meku, tumeelewana charii yangu?
Niko hapa kwa chuwa napata chakula ya kuchangamka
 
😂😂😂 kwa massawe pale unakuta spika kubwa 6 kila upande kina ndeyanka, babuu ,samu, nderingo totoliii, wanacheza kamari nje kwa mbali nyimbo ya sedekia , wamama jikoni wanapika vyakula kama ndo siku ya harusi alafu anayefanyiwa sherehe ya mwisho yupo dar hata hajatolewa mochwari ,MTOTO WA KWANZA WA MZEE MASSAWE NI KISHIMBA YUPO BAR NA MATES WAKE WA UTOTONI WANAPOROMOSHA ULABU

HATARIOO




Hii kitu ipo sana moshi mpaka inakera aseee
 
Nasikia huko mazishi hawachimbi ardhini, badli kuna mashine anapitishwa marehemu, kinachotokea ni majivu tu. mrangi unajua kuhusu hilo?
 
Back
Top Bottom