Misiba ya waislamu haina mambo mengi, nimependa sana

Hakuna andiko limekataza wakristo kuzika wala kutozika ndani ya muda fulani.

Hizi ni tamaduni tu. Kumbuka jangwani kuna joto hivyo maiti iliwahi kuoza so waarabu wakawa wanawahisha kuzika kukwrpa adha ya maiti kuoza.

Usipotoshe watu, tafadhali
 
Mbwembwe za wakristo waislamu wenyewe wanazipenda, huoni nao siku hizi nao harusi sasa hivi wanaanza kwenda ukumbini wakati walikuwa wanamalizia nyumbani tu chai na maandazi mawili tu shughuli imeisha sasa hivi na wao wanaomba michango ya ukumbini

Unafikiri na wao hawatamani mbwembwe kama zile za mwendazake?
Wala hatuzitamani hata kidogo
 
Tatizo wagalatia bado wanaamini kuna kufufuka kama walivyotapeliwa na yule jamaa anayening'inia huku amevaa thong
 
Sasa afe mchaga mwenye pesa.
Maiti itakaukia mochwari Kama kuni, ikisubiri vikao vya pimbe Riverside.
 
Hata kama ni kiongozi wa kitaifa, kwenye uislamu awe tajiri, maskini au mwenye cheo hatakiwi kucheleweshwa
Am sorry uislam si sheria nchi hii. Hiyo dini kama dini zingine. Serikali ina taratibu zake ambapo haingiliiwi na dini, matter of fact haina dini. Kukwambia tu huyo ji kiongozi wa kitaifa, serikali ndie msimamiz mkuu wa shuvhuli yote ya mazishi. Once ukishaitumikia serikal ktk level za juu kama hizo ww ni wa kwao technicaly
 
Kwani tendo ka kuchelewa kuzika maiti na tendo la kuikamua maiti mavi yake lipi ni tendo la kipumbavu?

Naomba kuwasilisha hoja!
 
Kwani tendo ka kuchelewa kuzika maiti na tendo la kuikamua maiti mavi yake lipi ni tendo la kipumbavu?

Naomba kuwasilisha hoja!
Kwani unaogopa kukamuliwa mavi
Huwa wanacheki kama marinda bado yapo, mavi yakitoka bila breki tunajua ulikuwa punga mwiba mchicha namba 7
Sasa nyinyi mnakawiza maiti ili bwana aje kupiga cha mwisho uende kuzimu na wazungu wake ?
 
Ndoa zetu hazina mambo mengi... Misiba yetu haina mambo mengi... Sababu ni moja tu UMASIKINI wetu kwahiyo tunarahisisha mambo kukwepa fedheha...
Ukinuna ukitokwa povu kasome quran vzuri
 
Hakuna andiko limekataza wakristo kuzika wala kutozika ndani ya muda fulani.

Hizi ni tamaduni tu. Kumbuka jangwani kuna joto hivyo maiti iliwahi kuoza so waarabu wakawa wanawahisha kuzika kukwrpa adha ya maiti kuoza.
mkuu haya mambo ni mazito sana,kuna watu hawajui hata utamaduni wa waarabu kutumia mazulia zaidi kuliko set za viti ni kutokana na kukosa bidhaa za mbao kwa kipindi hicho maeneo hayo ya jangwani.

lakini mtu yuko zenj hapo nayeye anakaa ktk zulia😁😁😁
 
Kwani unaogopa kukamuliwa mavi
Huwa wanacheki kama marinda bado yapo, mavi yakitoka bila breki tunajua ulikuwa punga mwiba mchicha namba 7
Sasa nyinyi mnakawiza maiti ili bwana aje kupiga cha mwisho uende kuzimu na wazungu wake ?
mkikuta hana marinda mnampa mtume amalizie au😁😁
 
of course, misiba ya wakristo ndio tunahangaika sanaana na kutumia garama kuuubwa, wakati hakuna kinachobadilika, marehemu hafufuki, wala hasamehewi dhambi kama ameenda akiwa nazo. roho yake imeshaondoka, mnahangaika na mwili hadi mnakula hela za watoto alioacha.
kwanini unafungwa na mazoea??

vipi kwako unatumia laki 8 kusherehekea birthday ya mtoto wako???au huigi mambo yanayokupa hasara??

baba yako amefariki,ndugu jamaa na marafiki wanataka kuaga wako mbali,dawa za kumchoma asiharibike zipo,fridge za kumhifadhi pia zipo,kwanini atupwe kama mzoga wa punda kwamba ataanza kunuka awachefue hapo mtaani??
 
Nimegundua wakristo wengi ni vilaza. Wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hakuna sehemu Biblia inasema mtu akifa azikwe baada ya siku kadhaa au baada ya jambo flani. Wanapoamua kuzika after siku kadhaa ni wao. Na mtu akifa asubuhi ukaamua kumzika mchana ni maamuzi tu wala Biblia haijakataza. Sasa hawa vilaza wanajikuta wanasifia hata mambo ambayo yapo kwenye uwezo wao ila hawafanyi.
kiazi ni yeye mletamada.

kasahau kuna wakristo wanazikwa baada ya saa 24 kufariki,wengine 48,wengine 72 na hata siku 7 kama lowasa au 14 kama jpm.

hakuna kanuni maalumu ni maamuzi ya wahusika,ni sawa na mtu anayelalamika gharama za harusi za wakristo wakati sio za lazima.
 
Back
Top Bottom