Misiba ndani ya jiji La Tehran

Ila mmarekani yupo busy sana 😀😀, mapandikizi russia, iran japo ameshindwa north korea
N.Korea ina nini cha kuipa dunia??
Nchi za mashariki ya kati zina historia ya dini mbalimbali, zina mafuta na nj njia ya kwenda mataifa mengine kwa bahari au anga lao.

N.Korea inaachwa nadhani kwasababu pia haina cha kuipa dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…