Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,800
- 41,051
Mzigo umejaa huo
zimekukumbusha nani🙄Avatar yako imenkumbusha mtu ni ww I or nt?
Eeh mzeeNimpande?
Jaribu kuitafakari kwa kina na ikibidi fanya Sana maombi hii Dunia Ina Mambo mengi Sana mkuu.Weee mkuu umenikumbusha kuna siku nimeota kuna mtoto ninae lakini hiyo ndoto sikuifatilia, inaweza kuwa nimezaa na jini wakati huo mi sijui..
Lakini pamoja na hayo YESU yupo atanitetea.
Hizo ni nguvu za Giza mkuu, huenda yakawa majini mahaba au unafanya mapenzi kwa njia za Giza...jitahidi kusali kwa imani yako kabla ya kulala
Ni hali ya kawaida tu, ya kibaiolojia, hasa kama una muda mlefu hujafanya mapenzi
High level of testosterone......A sign of good sexual health
Nice commentsHiyo ni hali ya kawaida, ndo njia Mungu alitupatia wanaume kutoa mbegu zilizozeeka na kuruhusu nafasi ya mbegu mpya. Kama hujaona na si mzinifu hali hiyo itakutokea mara moja au mbili kwa mwezi. Nikama ilivyo hedhi kwa wanawake Kama hajabeba mimba, yai lilulozeeka hufa na kutoka nje kwa njia ya damu kuruhusu yai jipya kushuka. Hakuna cha jini mahaba wala Nini. Jitunze vizuri wala usingie mtego wa master usije kujuta. Si wote bangi au pombe inawapenda same kwa master
Hujaelewa, ungeuliza kwanzaYaani nguvu za kiume ni nguvu za giza?
Hujaelewa, ungeuliza kwanza
Chenga tu weweHapo nimeuliza. Au hujui sentensi ya swali ipoje?
kama haikutokei mara kwa mara, hizo sio nguvu za giza, una kupururu cha kutosha, epididymis imejaa..tafuta manzi au kula nyeto mara moja moja..
Mimi nikipita mwezi tu Lazima nipate wet dreams. Kula Sana matikitiki aisee utaongeza uzalishaji wa testerone na Lazima utazipata unless una stressNatamani nipatwe na hizo hisia nione inakuaje