Sasa unauliza tena .. Tafuta manzi haraka ndugu usije kupata kesi bureAu inasababishwa nakutoshiriki mapenzi kwa muda mrefu.
Tell himNyege zimekujaa, tafuta demu upigee
Kwa umri huoo ,km huna demu ,utakufwaa na nyege
Weee mkuu umenikumbusha kuna siku nimeota kuna mtoto ninae lakini hiyo ndoto sikuifatilia, inaweza kuwa nimezaa na jini wakati huo mi sijui..Mkuu usipostuka kupiga maombi tegemea kupata uzao kutoka Kwenye mashetani au majini.
Sperms zako zinatumiwa na mapepo ipo siku zitakuja kuzaa kiumbe/viumbe vya mchanganyiko wa pepo na binadamu.
Sawasawa,,,Yatasemwa mengi ila ukweli ni kwamba biologically kitu kama hicho kukutokea kwa umri huo ni sahihi na nikawaida kabisa na ipaswa itokee
Asante kwa ushauri konk, na ubarikiwe.Hiyo ni hali ya kawaida, ndo njia Mungu alitupatia wanaume kutoa mbegu zilizozeeka na kuruhusu nafasi ya mbegu mpya. Kama hujaona na si mzinifu hali hiyo itakutokea mara moja au mbili kwa mwezi. Nikama ilivyo hedhi kwa wanawake Kama hajabeba mimba, yai lilulozeeka hufa na kutoka nje kwa njia ya damu kuruhusu yai jipya kushuka. Hakuna cha jini mahaba wala Nini. Jitunze vizuri wala usingie mtego wa master usije kujuta. Si wote bangi au pombe inawapenda same kwa master
Avatar yako imenkumbusha mtu ni ww I or nt?Fanya maombi na uhakikishe unasali kabla ya kulala