Mishindo miwili kwa usiku mmoja

Mishindo miwili kwa usiku mmoja

Bin Shaib

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,349
Reaction score
1,223
Habari zenu wana jukwaa, natumai hamjambo nyote na munaendelea kupambana na majukumu. Mimi kwa upande wangu pia namshukuru Mungu kwa kuniwezesha pumzi bila gharama yoyote. Mungu ni mwema wakati wote.

Maada..
Wapendwa wa Mungu hiki kitu kimekaaje?

Ilikuwa usiku wa tarehe 3-8-2020
Wakati nikiwa nimelala niliota ndoto nyevu, nilistuka nikajikuta nimechafuka ile mbaya,, nikaamka nikajifuta nikalala.

Baadae tena usiku huohuo nikajimalizia tena usingizini,, nikastuka tena nikajikuta mapaja yote yamechafuka,, kama kawaida nikajisafisha na kukaa kidogo nikiwaza,kulikoni hii hali inanitokea?

Nakumbuka kuna miaka nyuma Ilishawahi kunitokea hii ya kupiga bao mbili usingizini,,.

Note:
:Sijaoa nina miaka 24

Je, hii ni kawaida na nyie wadau ilishawahi kuwatokea.

Bin Shaib Classic 2020.
 
Inatokeaga japo inahusishwa na nguvu za gizani 😂😂😂!!!

Ushauri tafta ngamia mzee
 
Hiyo ni hali ya kawaida, ndo njia Mungu alitupatia wanaume kutoa mbegu zilizozeeka na kuruhusu nafasi ya mbegu mpya. Kama hujaona na si mzinifu hali hiyo itakutokea mara moja au mbili kwa mwezi. Nikama ilivyo hedhi kwa wanawake Kama hajabeba mimba, yai lilulozeeka hufa na kutoka nje kwa njia ya damu kuruhusu yai jipya kushuka. Hakuna cha jini mahaba wala Nini. Jitunze vizuri wala usingie mtego wa master usije kujuta. Si wote bangi au pombe inawapenda same kwa master
 
Na ulipata mishindo miwili kwa kuwa mshindo wa kwanda uliukatiza kutokana na kushtuka ila ungelirelax na kufurahia kilichokuwa kinaendelea ungemaliza kuzitoa mbegu zote na mfuko wa mbegu kubaki empty. Ila kwa vile ulishtuka na kukatiza mbegu zisiendelee kutoka ndomana upipopata usingizi mwingine zile zilizosalia zikalazimika kutoka
 
Mjukuu, ndoto hizo kwa kiingereza huitwa wet dreams:
Wet dreams occur during sleep. They are normal and should not be viewed as bad or wrong. It is also normal not to have them.

(Ndoto hizo hutokea ukiwa uingizini, Ni kitu cha kawaida na usikione kama kitu kibaya au kisicho sawa. Ni kawaida pia kwa watu wengine kutokuota ndoto za namna hiyo)

Wet dreams may be a healthy and normal part of sleep. Aside from the need to clean up clothing or bedding, there is no particular problem with the phenomenon occurring.

(Ndoto hizo zinaweza kuwa nzuri kiafya na sehemu ya usingizi mnono. Mbali ya kuchafua mashuka na nguo unazokuwa umevaa, hakuna kitu chochotekingine kibaya)

Hata wanawake hupata ndoto hizo ila wao hawapati huo mshindo, wanachoweza kuona ni maji maji kwenye uke.
Kama unaweza, google' wet dreams' utapata maelezo ya kutosha
 
Back
Top Bottom