Habari wana Jf. Jamani naomba kwa yeyote anayejua mshahara wa walimu wa shule za msingi anijulishe,
laki mbili na sabini na tano elfu, baada ya makato inabaki 210000
Habari wana Jf. Jamani naomba kwa yeyote anayejua mshahara wa walimu wa shule za msingi anijulishe,
Ndio jumla hiyo ukijumlisha na ile asilimia walioongeza?
Mishahara ya walimu inalipwa kwa scales kulingana na madaraja zinaitwa TGTS sasa wewe sijui mwalimu daraja la ngapi? Funguka usaidiwe.
Kwa Daraja la chini inakuaje?
Co kwamba nimeuliza hilo ati nimwalimu, nilikua nataka nijue tu! Kama ningekua ni mwalimu si ningefahamu mshahara?