Mishahara ya viongozi wetu

Sungurampole

JF-Expert Member
Nov 17, 2007
984
205
Hii inanikumbusha swali la yule kijana wa(form I) Ukerewe kwa aliyekuwa waziri Mkuu wakati huo: Mnapotuhamasisha tusome mbona tunaona mkipeana tu mlundikano wa vyeo?

Sasa najiuliza hivi viongozi wenye vyeo viwili au zaidi wanalipwa mshahara kwa kufuata uataratibu upi? Mfano ni mbunge anapokuwa waziri au mkuu wa mkoa.
 
Hii inanikumbusha
swali la yule kijana wa(form I) Ukerewe kwa aliyekuwa waziri Mkuu wakati
huo: Mnapotuhamasisha tusome mbona tunaona mkipeana tu mlundikano wa
vyeo?

Sasa najiuliza hivi viongozi wenye vyeo viwili au zaidi wanalipwa
mshahara kwa kufuata uataratibu upi? Mfano ni mbunge anapokuwa waziri au
mkuu wa mkoa.

analipwa mshahara wa uwaziri au ukuu wa mkoa na stahili nyingine za uwakilishi kama mbunge.
 
Back
Top Bottom