Mishahara ya january 2013 kunani?

Mishahara ya january 2013 kunani?

zee la weza

Senior Member
Joined
Feb 7, 2012
Posts
190
Reaction score
29
Wadau mpaka sasa hivi huku mkoa wa njombe mishahara ya mwezi huu bado walimu hatujapata na hakuna taarifa zozote za kuchelewesha huo mshahara vipi pande zingine za nchi na sector nyingine?, pia vipi kuhusu ajira mpya za waalimu? Maana shule zetu hazina walimu wa kutosha.
 
Poleni sana ndio maana sometimes walimu mnakuwa wakali mno kumbe sio dhamira zenu
 
pole ndugu. nachelea kusema kwamba pesa zenu zinatumika katika operation ya Mtwara, ila mtapata tu hata kama ni late!
 
Wadau mpaka sasa hivi huku mkoa wa njombe mishahara ya mwezi huu bado walimu hatujapata na hakuna taarifa zozote za kuchelewesha huo mshahara vipi pande zingine za nchi na sector nyingine?, pia vipi kuhusu ajira mpya za waalimu? Maana shule zetu hazina walimu wa kutosha.
mbona mishahara washaingiza zamani sana angalia bwana siyo kulalama tu
 
...Serikali imeahirisha kulipa shahili kwa wafanyakazi wake waliopanda madaraja kuanzia mwaka jana mwishoni, mpaka mwezi wa nne. Wakati huohuo, deni la taifa linapaa kama fastjet. Between now and 2015, kuna wakati salary zitakata. Wafanyakazi jiandaeni kwa yasiyotarajiwa.
 
kwa kawaida serikali hii inalipa mishahara tarehe 4 au 5 ya mwezi unaofuata, kwa hiyo bado hawajachelewesha
 
Kuna mfanyabiashara hajatukopesha bado,futa subira mwalimu wangu,najua nyie ni watu muhimu,teheteheteheeeeee
 
nafikiri katiba iseme ni lazima mtumishi wa umma alipwe withn 30 dys na sivyo iseme pia wat 2do,lazima iwe responsible
 
tunalipwa kwa mafungu mimi nimeshazoea wenzangu eakipata mimi bado najua zamu yangu inafuata ndipo tulipo fikia!
 
Mimi nshaa maliza longi nimebakisha ka_jero hakanunui hata kiroba! sisi wlimu ni makondoo sana kweli
 
Pesa wamewalipa walioziarani kigoma,msubiri kama m,taki bc.....
 
Tatizo lenu walimu mkiambiwa kugoma hamtaki. Na hata mkigoma inakuwa wakati wa likizo. Gomeni wakati wa mitihani ya kidato cha 4. Mbona madaktari waligoma tibu wagonjwa? Mtapata vi mishahara kiduchu na kwa kuchelewa hadi basi.
 
Back
Top Bottom