Mishahara ya january 2013 kunani?

Mishahara ya january 2013 kunani?

.....mleta mada ana haki ya kutoa kile kilichoko rohoni mwake kwa vile ameguswa, sasa kuna aliyeuelewa wa hoja yake anaweza kujitokeza na kutoa ufafanuzi mzuri kuliko kumshambulia kwa maneno ya kejeli.

Ni kweli,mishahara inaonekana imechelewa karibia kwa Wafanyakazi wa sekta zote na si Walimu tu; kawaida mishahara inatoka kuanzia tarehe 25 ya kila mwezi, kwa vile hiyo tarehe ilikua ni Mapumziko(Maulid) inawezekana ndo ilichangia na mimi binafsi nilitarajia kufika tarehe 29 mishahara itakua tayari lakini cha kushangaza HAKUNA KITU, hapo sasa uhalali wa kuhoji ndo unapojitokeza

Kama mishahara ya Wafanyakazi imepelekwa Mtwara au Kasulu hilo litakua ni jambo lingine na litahitaji kutolewa ufafanuzi..
 
Hivi humu JF nani yuko kitengo cha mishahara ya wafanyakazi wa serikali - waalimu?
 
.....mleta mada ana haki ya kutoa kile kilichoko rohoni mwake kwa vile ameguswa, sasa kuna aliyeuelewa wa hoja yake anaweza kujitokeza na kutoa ufafanuzi mzuri kuliko kumshambulia kwa maneno ya kejeli.

Ni kweli,mishahara inaonekana imechelewa karibia kwa Wafanyakazi wa sekta zote na si Walimu tu; kawaida mishahara inatoka kuanzia tarehe 25 ya kila mwezi, kwa vile hiyo tarehe ilikua ni Mapumziko(Maulid) inawezekana ndo ilichangia na mimi binafsi nilitarajia kufika tarehe 29 mishahara itakua tayari lakini cha kushangaza HAKUNA KITU, hapo sasa uhalali wa kuhoji ndo unapojitokeza

Kama mishahara ya Wafanyakazi imepelekwa Mtwara au Kasulu hilo litakua ni jambo lingine na litahitaji kutolewa ufafanuzi..



Utumishi wa umma ni wito jamani wakati mwingine mtumishi ndio ajitolee kuisaidia serikali pale inapokwama na sio kila mara kuilalamikia serikali, Pia wafanyakazi nawaombeni mjifunze formula hii ya matumizi, kwamba matumizi= kipato - akiba. Unapopata mshahara hata kama ni mwalimu toa akiba kwanza then ndio utumie, hata kama mabaki ni kidogo hutakufa, then unapokuwa na shida ya ada ya shule au kama hivi mishahara inavyochelewa unakuwa huna haja ya kuhaha huku na kule kukopa, maana ya kukopa ni kutumia pesa ambayo hauna.
 
Wadau mpaka sasa hivi huku mkoa wa njombe mishahara ya mwezi huu bado walimu hatujapata na hakuna taarifa zozote za kuchelewesha huo mshahara vipi pande zingine za nchi na sector nyingine?, pia vipi kuhusu ajira mpya za waalimu? Maana shule zetu hazina walimu wa kutosha.
mashirika mengi huku Arusha mishahara uwa tunapata baada ya mwisho wa mwezi kupita,lakini kwa serikali hii inagonja wafanyakazi waadamane waunde tume
 
Utumishi wa umma ni wito jamani wakati mwingine mtumishi ndio ajitolee kuisaidia serikali pale inapokwama na sio kila mara kuilalamikia serikali, Pia wafanyakazi nawaombeni mjifunze formula hii ya matumizi, kwamba matumizi= kipato - akiba. Unapopata mshahara hata kama ni mwalimu toa akiba kwanza then ndio utumie, hata kama mabaki ni kidogo hutakufa, then unapokuwa na shida ya ada ya shule au kama hivi mishahara inavyochelewa unakuwa huna haja ya kuhaha huku na kule kukopa, maana ya kukopa ni kutumia pesa ambayo hauna.
ilichosahau ni kukubaliana na magamba kwamba uchumi wetu unakua kwa kasi mpya
 
Wadau mpaka sasa hivi huku mkoa wa njombe mishahara ya mwezi huu bado walimu hatujapata na hakuna taarifa zozote za kuchelewesha huo mshahara vipi pande zingine za nchi na sector nyingine?, pia vipi kuhusu ajira mpya za waalimu? Maana shule zetu hazina walimu wa kutosha.
kama ahadi hizo zilitolewa na wana magamba,itakuwa hakuna tofauti na waliyoambiwa wana kigoma kwamba,mji wao utakuwa dubei,au wana mtwara kwamba mji wao utakuwa wa viwanda
 
Wadau mpaka sasa hivi huku mkoa wa njombe mishahara ya mwezi huu bado walimu hatujapata na hakuna taarifa zozote za kuchelewesha huo mshahara vipi pande zingine za nchi na sector nyingine?, pia vipi kuhusu ajira mpya za waalimu? Maana shule zetu hazina walimu wa kutosha.

Subiri kuanzia tarehe 35.
 
Fuatilia mshahara wako kwa mwajiri wako, hapa ni JF

inashangaza kuona malamiko ya mshahara kila mwezi wakati ukienda kila ATM imajaa watu wanajichukilia chao. nadhani hii ni njia ya kuongeza uwingi wa posts ndani ya JF.
 
Vumilia baada ya CCM birthday hapo 5/2/2013 kule Kigoma ndo tucheki imebaki kiasi gani tuone jinsi ya kuwalipa.
 
Utumishi wa umma ni wito jamani wakati mwingine mtumishi ndio ajitolee kuisaidia serikali pale inapokwama na sio kila mara kuilalamikia serikali, Pia wafanyakazi nawaombeni mjifunze formula hii ya matumizi, kwamba matumizi= kipato - akiba. Unapopata mshahara hata kama ni mwalimu toa akiba kwanza then ndio utumie, hata kama mabaki ni kidogo hutakufa, then unapokuwa na shida ya ada ya shule au kama hivi mishahara inavyochelewa unakuwa huna haja ya kuhaha huku na kule kukopa, maana ya kukopa ni kutumia pesa ambayo hauna.
umesomeka.
 
Mimi nshaa maliza longi nimebakisha ka_jero hakanunui hata kiroba! sisi wlimu ni makondoo sana kweli
Hii dhana ya SISI ndo inayowaponza,,,anza wewe uoneshe njia kwa wengine kwa KUDAI haki yako na maslahi yako yatimizwe kwa muda na wakati muafaka kwa usahihi pia..Ondoa SISI kwenye hili la kufa na njaa hamfi pamoja ama hamuui familia zenu kwa wakati mmoja bali kila mtu na uzito wa machungu yake...wenzio ni wake wa Wakurugenzi, Ma-DC, RAS, DAS, etc unadhani wanamuda wa kuwazia mishahara yao...unajilinganisha na mwalimu (mke wa TRAFFIC anayefaidi hela ya BARABARA...Dai haki ndugu wewe kama wewe kwanzan wenzio watafuata nyayo zako
 
Acheni uchonganishi mishahara yote imelipwa kabla ya xmas kama mmemisuse kwa ulafi wenu msitafute mchawi
 
Tumetumia pesa nyingi kuzima vurugu Ntwara, Moro na kwingineko, vilevile tumewekeza pesa nyingi sana kwenye HEPI BEPIBESDEI ya chama kule pande za Leka dutigite, kwa hiyo tunaomba muendelee kuwa wavumilivu mtakula mbivu
 
Back
Top Bottom