Mambo ya uhakiki yanazingua ......huenda mshahara ukatolewa week ijayo yaani baada ya pasaka maana raisi keshatoa agizo kua ole wao watakaolipa wafanyakazi hewa na kazi watakua hawana hivyo wakurugenzi na wakuu wa wilaya wapo kwenye hofu kubwa ya kuhofia kufukuzwa kazi Kwa kulipa watumishi hewa ....haya ni maajabu sana ni jambo Jema lakini lilipAswa lifanyike Kwa utaratibu unaoeleweka.watu wachache wanawakosesha Amani ya roho wengine Kwa uzembe wa wachache .haya ndo Matokeo ya kukurupuka.