Mishahara serikalini

Mikeyy

Senior Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
106
Reaction score
35
Kuna taarifa seikali imepeleka mswada bngeni utakaofanya wafanyakaz wote seriklini wenye kada sawa kulipwa mishahara na posho sawa. Je ina maana walioko juu mishahara yao itashushwa?
kisheria hili limekaaje?
 
Mashamba ya ccm yanatolew bureeeeeeee?

Hapa ni kazi tu, hata waishio mjn wakalime rami!
 
Walichomaanisha kwa mfano madereva wote walipwe sawa isiwe tofaut kati ya dereva wa mahakama,na halmashaur au dereva wa usalama wa taifa..hii ni nzuri cyo mengine laki kisa anamuendeza waziri mwengine et laki 3 kisa dereva wa gari la mahakama..waweke tu ile sawa mshahara mmoja wote si madereva ila uwe wenye kukidhi mahitaji ya maisha,mana hawachelew kusem uwe laki 1#joking#
 
Dereva anaendesha gari la polisi anaenda kukamata jambazi mwenye bunduki atalipwaje sawa na dereva anaeendesha gari mahakama? hujui mwingine risk ni kubwa kuliko mwenzie?
 
Dereva anaendesha gari la polisi anaenda kukamata jambazi mwenye bunduki atalipwaje sawa na dereva anaeendesha gari mahakama? hujui mwingine risk ni kubwa kuliko mwenzie?
Dereva anaendesha gari la polisi anaenda kukamata jambazi mwenye bunduki atalipwaje sawa na dereva anaeendesha gari mahakama? hujui mwingine risk ni kubwa kuliko mwenzie?
 
Kila mbuzi atakula kutokana na urefu wa kamba yake.
 
Jeshi police usalama wa taifa na mahakama pamoja na wabunge hawapo kwenye mswaada huo
 
Kuna taarifa seikali imepeleka mswada bngeni utakaofanya wafanyakaz wote seriklini wenye kada sawa kulipwa mishahara na posho sawa. Je ina maana walioko juu mishahara yao itashushwa?
kisheria hili limekaaje?
Watastaafu waajiri wapi. Kama mtu umevuta TZS 40,000,000 kwa mwezi sana na TZS 480,000,000 kwa mwaka sawa na TZS 1,440,000,000 kwa miaka mitatu mtu huyo kwani asianzishe miradi yake na yeye akawa mwajiri badala ya mwajiriwa?

Ahsante Mh. Raisi kwa kupunguza tofauti kati ya wanalipwa sana na wanaolipwa kidogo
 
Ukiwa mkurugenzi TRA ulipwe 10m (mfano tu) ukiwa Wizarani ulipwe chini ya 4m..
Haileti maana ikiwa wote ni watumishi wa umma...

Mi naona powa tu...haiwezekani CEO wa kampuni iliyo chini ya Wizara ya Viwanda alipwe zaidi ya katibu mkuu wa Wizara...
Kama watashusha au watapandisha mshahara sijui, ila tofauti hizi zilikuwa hazileti maana....

Ndio unakuta mtu anafanya mipango aame toka taasisi moja kwenda nyingine na zote ni za umma...

Na hili linawezekana kama hawataacha kila taasisi (boards) kujipangia mishahara...mishahara ipangwe na hazina

As if ofisi moja ni muhimu zaidi ya nyingine...rank sawa mshahara sawa ndio solution...
 
Acha wivu
 
Dereva anaendesha gari la polisi anaenda kukamata jambazi mwenye bunduki atalipwaje sawa na dereva anaeendesha gari mahakama? hujui mwingine risk ni kubwa kuliko mwenzie?
Kadanganye walimu wa shule ya msingi

Dereva wa polisi ni polisi hiyo ni kazi yake kuendesha na kukamata

Mshahara ni mmoja Tu wa kazi yake ya upolisi huo udereva ni kitengo Tu labda kama kina posho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…