Mishahara mipya

Mishahara mipya

PANTA

Member
Joined
Feb 4, 2012
Posts
47
Reaction score
5
Habarin wana jamvi,
Kwa wale walimu wa ajira mpya walioajiriwa mwez may 2015 kuna baadhi take home yao imepungua je ni heslb wameanza kuchukua chao au ndo serikal imeanza kubana matumizi.
 
Habarin wana jamvi,
Kwa wale walimu wa ajira mpya walioajiriwa mwez may 2015 kuna baadhi take home yao imepungua je ni heslb wameanza kuchukua chao au ndo serikal imeanza kubana matumizi.

Tafuta salary slip yako utajua very simple.
 
Habarin wana jamvi,
Kwa wale walimu wa ajira mpya walioajiriwa mwez may 2015 kuna baadhi take home yao imepungua je ni heslb wameanza kuchukua chao au ndo serikal imeanza kubana matumizi.

habari ya singida
 
Ni kweli Nina rafiki yangu yupo Arusha dc wa ajira mpya 2015 wameanza kumkata tangu mwezi uliopita!!ni HESLB hao wanamkata parefu kama. Tsh 58,000/=

Sijajua kila mtu atakatwa kutokana na scale ya percentage ya Mkopo aliokua anapata
Chuoni au ni vipi ila habari ndio hio...
 
Nilijua jana umelipwa tofauti na umeongezewa kumbe umelipa BOOM
 
unakatwa 7% ya basic salary,ukiongezeka mshahara na makato yanaongezeka pia
Ni kweli Nina rafiki yangu yupo Arusha dc wa ajira mpya 2015 wameanza kumkata tangu mwezi uliopita!!ni HESLB hao wanamkata parefu kama. Tsh 58,000/=

Sijajua kila mtu atakatwa kutokana na scale ya percentage ya Mkopo aliokua anapata
Chuoni au ni vipi ila habari ndio hio...
 
Hey flocks, makato ya heslb ni kwa mujibu wa sheria na wakianza kukata kiwango hakiongezeki ila kadri unavyozid kuchelewando
 
Kiwango kinaongezeka yale madeni yana riba. Na nadhan this time watafuatilia kwa Karibu zaidi 7bu kaja mfuatiliaji hakuna kuzunguka mbuyu na hudumu kwa takriban ten yrs iyo 8% ya salary yako
 
HESLB wanatakiwa wakate asilimia 5 ya mshahara,, nakumbuka kwenye loan statement yangu walisema ni 5% ya salary na wataanza kukakata kuanzia tar 1 dec,, ingawa mie co mwalim na wala sijaajiliwa may lakini loan statement yangu ndio ilisema hvyo
 
Back
Top Bottom