prince onesmo
Member
- Dec 29, 2012
- 27
- 3
Serikali inafikilia nini ivi kweli mishahara walioongeza inaendana na kodi wanazotoza nachoangalia hapa ni kuibua wizi na ujambazi ili kukidhi mahitaji
Wewe siyo mzima eti bungei wanalipana mamilioni bungeni kumbe hata serikali huijui vizuri nani kakwambia kuwa bunge ni serikali kwa nini ukiwa bavicha na akili inakuwa ndogo?Wao uko bungeni wanalipana mamilioni bajeti yake kwa siku ni mishahara ya raia wawili kwa mwezi
Wewe siyo mzima eti bungei wanalipana mamilioni bungeni kumbe hata serikali huijui vizuri nani kakwambia kuwa bunge ni serikali kwa nini ukiwa bavicha na akili inakuwa ndogo?
Wewe siyo mzima eti bungei wanalipana mamilioni bungeni kumbe hata serikali huijui vizuri nani kakwambia kuwa bunge ni serikali kwa nini ukiwa bavicha na akili inakuwa ndogo?
Wewe siyo mzima eti bungei wanalipana mamilioni bungeni kumbe hata serikali huijui vizuri nani kakwambia kuwa bunge ni serikali kwa nini ukiwa bavicha na akili inakuwa ndogo?
We ndo Mburula, umesomea wap ww? Kwamba hujui bunge ni mhimili mmojawapo wa Dola. Dola ni nin? C ni serikal ilyowekwa na watu kwaajil ya kuwaongoza.
Mh,hapa hata elimu ya uraia imepita kushoto, bahati mbaya Kiswahili nadhani hakina neno linalowakilisha Executive na badala yake Executive ambayo huundwa na Rais na baraza la mawaziri huitwa serikali. Kwa ujumla serikali inaundwa na vyombo vikuu vitatu, Executive, bunge na mahakama. Huyo anayesema kuwa bunge si serikali atakuwa kaelewa nadhani. Vinginevyo atakuwa wale wa FIV 2012.
Wewe siyo mzima eti bungei wanalipana mamilioni bungeni kumbe hata serikali huijui vizuri nani kakwambia kuwa bunge ni serikali kwa nini ukiwa bavicha na akili inakuwa ndogo?
Kumbe kuna wehu wengi humu ndani, mtu hujui maana ya serikali unakaa kutoa povu tu hapa.Wewe siyo mzima eti bungei wanalipana mamilioni bungeni kumbe hata serikali huijui vizuri nani kakwambia kuwa bunge ni serikali kwa nini ukiwa bavicha na akili inakuwa ndogo?
Ndugu hawa waliopo humu kwa maslahi ya vyama inabidi uwavumilia tu maana ya kujadili kwa hoja wao ni matusi tu.Ndugu kama wewe unajua kuliko mwenzio la msingi ni kumuelimisha sio kutukana matusi mtu anaye tukana matusi hana busara hata chembe usipo mwomba radhi tutakuweka kwenye kundi la wasio na busara na hili jukwaa ni kwa watu wenye busara tu.
Mh,hapa hata elimu ya uraia imepita kushoto, bahati mbaya Kiswahili nadhani hakina neno linalowakilisha Executive na badala yake Executive ambayo huundwa na Rais na baraza la mawaziri huitwa serikali. Kwa ujumla serikali inaundwa na vyombo vikuu vitatu, Executive, bunge na mahakama. Huyo anayesema kuwa bunge si serikali atakuwa kaelewa nadhani. Vinginevyo atakuwa wale wa FIV 2012.