wingi wa pesa si ufumbuzi wa uchumi. hamasisha uzalishaji bidhaa vwandani, ufugaji na kilimo , dhibiti ufisadi na fedha haramu. kifupi imarisha thamani ya fedha yako ambapo sh 50 itapokelewa dukani na kupewa sabuni, au sokoni na ukapewa samaki au unga wa mahindi, hapo hata ukiweka kima cha chini sh 50,000 mfanyakazi ataishi.