Watumishi hasa wa umma, huenda wakapata ka-landslide ya nyongeza ya mishahara yao. Hii ni kuelekea uchaguzi Mkuu mwakani. Mbona mwaka jana walisema serikari haina hela? Sasa zimetoka wapi? Au TRA wanakusanya sana baada ya kuanza kutumia mashine BVR mashines sorry, EFD machines? Wafanyakazi, msije mkadanganyika tena. Kama mnawapigia kura, isiwe kwa sababu ya landslide. Binafsi mimi ntawapigia.