Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,476
Kwa vijana wa vijiweni-Duh wakubwa wanafaidi.
Huyu ukiwa nae pressure tu hizo za
kujitakia-vijana wengine kijiweni.
maradhi hayo-wazee kibarazani. Kwa mtindo huu Ukimwi
hautaisha babake-dereva taxi.
Dada kweli wewe ni mzurii ngoja nikatafute pesa nitajirike
nitakutafuta-mbeba tenga kichwani.
Shemeji leo kaka kakuachia utembee kwa miguu?
Mamaaa!-haka katoto naona ndio kame balehe. Weweeeee!-kijiwe kingine.
Hao hata kwetu wapo hao! Dada mambo?
Uongo kazi umependeza! Na miruzi.
Ilifika time nikawa natabasamu hata sikumbuki mengine. Mwaaaaah! I feel SEXY! :A S-heart-2:
Hivi yule bosi ulishampa kiboksi-manyoya chako? Hayo ndio madhara ya kuzaliwa na kukulia NJIRO. Kusomea Kenya na Uganda na Kufanya kazi Naura Spring.
Cha ajabu nini Erotica?
Ndimi Bazazi!
Last edited by a moderator: