Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Kuna hizi

.Utamu wa kazi pesa
.Natafuta konda
.Mchana nzi usiku mbu.com
.General Gattuso(Badala ya Gennaro Gattuso)
.Wanga sasa basi,ukimwi unatosha
.Cha mtu mavi
.Meli ya Ugiriki
 
Aliyelazimishwa hafurahiiii.........Daladala la Mwananyamala
 
Izina la Mfumwa Litogolwe--Hii ni ya kipare nadhani inamaana jina la bwana lisifiweKifo cha MendeKamujingijingi---naomba tafsiri kwa hii nadhani ni kinyaturuKama kumsukuma mlevi vile
Kamujingijingi---naomba tafsiri kwa hii nadhani ni kinyaturu MAANA YAKE KURUKARUKA
 
Shahidi Vumbi!
Dume Jeuri!
Bukene Kwetu!
Umeisoma...?
Safari ya Loliondo!
Safari ya Wana wa Israel!
Bado nipo nipo!
 
Duh hata me huwa nafagilia sana kusoma misemo katika magari, kwa uchache nakumbuka hizi

- Usichezee Koki utalowa

- Wote abiria Dereva ni Mungu

- Usirudi nyuma kuna tope

-Kalia kitu

-Maisha ni Foleni

- Ukitaka ubaya dai chako

- Hata kwetu wapo
 
(1) Kumpiga chura teke ni kumwongezea mwendo!!!
(2) Utapita bucha zote, nyama ni ilele, Zafanana!!!
 
Ushora Ndago No.1 hadi 5

Kindokyakosembe.

Gladys- Mziki Mkubwa

Usifuate Nyayo Za Simba.

Kamjingi jingi

Siri Yako Usimuambie Mtu

Kiomboi Kisiriri

Mlaleo mlajana
 
Back
Top Bottom