Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 878
- 1,147
Uzi huu nimeuanzisha kwa ajili ya kukumbushana misemo mbali mbali ambayo ilizuka na kupotea katika Generation mbalimbali ambazo tumepitia , mpaka leo hii
Lengo ni kucapture kumbukumbu ya baadhi ya matukio, au viburudisho ambavyo tumewahi kuenjoy kwa wakati huo, Tunaita NOSTALGIA
Binafsi nakumbuka misemo kama UTAJIJU!!, MAMBO POA! SHEGA! FAGILIA! n.k
Twende Kazi....
Lengo ni kucapture kumbukumbu ya baadhi ya matukio, au viburudisho ambavyo tumewahi kuenjoy kwa wakati huo, Tunaita NOSTALGIA
Binafsi nakumbuka misemo kama UTAJIJU!!, MAMBO POA! SHEGA! FAGILIA! n.k
Twende Kazi....

