Misaada ya kiutu yaendelea kumiminika Gaza!!

Misaada ya kiutu yaendelea kumiminika Gaza!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,224
Reaction score
6,283
Malori 100 ya misaada ya kibinadamu yakiwa yamebeba fomula ya watoto, unga, na vifaa vya matibabu yaliingia Gaza jana kupitia Kivuko cha Kerem Shalom.

Misaada kama hii ndiyo inawapa kiburi magaidi hao kuendelea na vita,kuwashikilia mateka na kuendelea kushikilia maiti zilizotekwa nyara toka Oct 07,2023.

Mpaka Israel itakapo acha ujinga huu wa kumlisha adui ndipo Itaweza kuwapata Mateka na maiti waliotekwa na Magaidi hao.
 

Attachments

  • IMG_0051.mp4
    12.5 MB
Sasa we nawe mbona ujielewi,hiyo isipopelekwa si hata hao mateka watakufa!!?, you should think twice,namaanisha hiyo misaada
 
Sasa we nawe mbona ujielewi,hiyo isipopelekwa si hata hao mateka watakufa!!?, you should think twice,namaanisha hiyo misaada
Maroli 100 wanakula mateka 20 Tumia akili zako vizuri!! Daima mateka wenyewe wanaachiwa wakiwa hoi bin taabani kwa sababu ya Njaa. Hakuna haja ya kuwapa chakula Mbwa hao!!
 
Back
Top Bottom