Taasisi ya vyombo vya habari kusini Mwa Afrika Tawi la Tanzania(MISA TANZANIA) umeendelea kuonyesha masikitiko yake kwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushindwa kulifungulia gazeti la Mwanahalisi mpaka sasa pamoja na kuwa Ukweli umegundulika kuwa yaliyosemwa na Mwana Halisi ni ya kweli kabisa.
source maasinda
source maasinda