yohana charles
Senior Member
- Mar 21, 2013
- 134
- 10
NHC ni shirika la kitaifa,inakuwaje mkoa au mji mmoja unakuwa na miradi ya mabilioni ya shilingi inayoendelea halafu miji mingine haina hata mradi mmoja?
Kuna maeneo kuna nyumba za NHC tena unakuta ni moja tu lakini inachukua miaka kukamilika wakati huko kwingine kunajengwa nyumba nyingi tena kwa muda mfupi tu.
Jamani kila mji/mkoa wanahitaji maendeleo.Fanyeni usawa katika kugawa hiyo miradi yenu,acheni kupendelea.!
Kuna maeneo kuna nyumba za NHC tena unakuta ni moja tu lakini inachukua miaka kukamilika wakati huko kwingine kunajengwa nyumba nyingi tena kwa muda mfupi tu.
Jamani kila mji/mkoa wanahitaji maendeleo.Fanyeni usawa katika kugawa hiyo miradi yenu,acheni kupendelea.!