Huyu mzee makwaia ni wa hovyo sana. Maswali yake km Ana shida ya akili, hata wanazi wenzie anawachosha, maswali km hadithi huku anashindana na waalikwa kuongea. Leo kajisema, Eti wa jamaa wanachekwa mitaani.Marudio channel 10 naona mipasho kwa zanzibar katika je tutafika?
Hivi makwaiya aliathirika na nini kwenye ubongo wake? Ashakum si matusi ila huwa namwona kama taahira hivi. Mara ya mwisho mi kumwangalia ilikuwa miaka kama 8 iliyopita nlishangaa huyu mzee bozo anapewaje airtime? Anacheka cheka tu kwa kujitekenya mwenyewe na anahoji au anaongelea hoja akiwa anaonesha ni mkereketwa sana. I wonder alikosa hata ukuu wa mtaa...ilikuaje?ina maana nao wanamwona ni kama taahira hivyo hivyo pamoja na kuwa ni mpambe wao?
Hivi huyu mzee sio mzanzibar?Huyu mzee makwaia ni wa hovyo sana. Maswali yake km Ana shida ya akili, hata wanazi wenzie anawachosha, maswali km hadithi huku anashindana na waalikwa kuongea. Leo kajisema, Eti wa jamaa wanachekwa mitaani.
Anafanana na gozigozi fulani la cloud sijui ni mtu na dingi.Hiyo ilikuwa ni miaka 8 nyuma, saivi huo uchizi ni twice as much!! Hawa mie huwa nawaita WAZEE JAU.
Sidhani, ila ni kichekesho, mara zote hulazimisha waalikwa waseme anachotaka sikia, na kushangilia anapokisikia. Huwa anawachosha si waalikwa ila hata wasikilizaji.Hivi huyu mzee sio mzanzibar?