Mipango ya kumrudisha Ole Millya CCM yaanza

Mipango ya kumrudisha Ole Millya CCM yaanza

It'll be healthy for CDM. We've had enough from Shibuda. Huyu tangu alipotumwa na Lowasa amfunge yule mmasai alinitoka kabisa. Na viapo vya hao wazee wa kimila havina maana yoyote.
 
CHADEMA kweli ni UMA tena yakulia chipsi,Chama Cha Wachache wanaojipa madaraka kiundugu kimapenzi na Kihawara,Chezea CCM wewe chama cha Watanzania wa Matabaka yote


haihusiani na mada.jaribu tena baadae
 
CHADEMA kweli ni UMA tena yakulia chipsi,Chama Cha Wachache wanaojipa madaraka kiundugu kimapenzi na Kihawara,Chezea CCM wewe chama cha Watanzania wa Matabaka yote

we ni gamba tena bwatukaji kama li mbwa koko
 
Tetes hatuzitaki humu we nend kwa shigongo usaidiane nae humu ni thegreat pekee,eti nimesikia simpaka nahata ikiwa utakua mmeokoa kipi lakuzama lisha zama hata mkitoboa matundu hamto salimika ishakua mv bukoba hiyo,tawi kavu kuvunjika unaficha!hahaha wafungwa wanatetemeka kama mwanaume anapopigaga shot ya kwanza
 
Hivi huyu Ole Milya yupo nchi gani? Mbona kimya sana!!! Hebu tujuzeni kuna nini!!??
 
ikiwa Millya alihamia cdm kwa moyo mmoja hakuna gamba linaloweza kumrudisha,labda iwe alikua na malengo tofauti.
 
CHADEMA kweli ni UMA tena yakulia chipsi,Chama Cha Wachache wanaojipa madaraka kiundugu kimapenzi na Kihawara,Chezea CCM wewe chama cha Watanzania wa Matabaka yote
Dalili za kifo utaziona tu, mtu anahangaika vibaya hata njia huwa haoni. Jingine hili linatapatapa!!!!!
 
Hapa ndio naona udhaifu wa CCM.

Milya alipoondoka wakapiga kelele wakisema ni oil chafu. Wakasema kawaibia na pesa na mengine mengi.

Sasa wanataka wamrudishe.

Kama kingekuwa chama chenye msimamo, watu hawa wanaojiunga na vyama vingine wangekuwa wanawakatilia mbali, ukizingatia katiba ya chama inasema anayejiunga na chama kingine chochote anapoteza uanachama. Wangeenda mbali zaidi kutoa fundisho. Tumeona wanaorudi wanavyokuwa lulu: akina Lamwai, Kabourou n.k.

Pia CCM naona inazidi kuishiwa issues zenye mashiko, imeishia kujadili watu, mara Slaa, Zitto, Mdee, kesho Mnyika, Lissu, Lema, Millya, na wao kwa wao ndani tunasikia Lowasa, Lowasa, Lowasa.

Tunaendelea kutega sikio tusikie sera, tusikie neno lenye kuleta matumaini kwa watanzania!!!!
 
Huwa nashangaa sana hivi James Ole Millya analipi jipya atakalofanya ndani ya CCM Mkoani Arusha kwa sasa ambalo alishindwa kulifanya wakati huo? Tuwe watu ambao si wanafiki na washabiki kwa mambo ambayo hayana msingi huko aliko hamna mchango wowote wa maana alioutoa ni matatizo matupu!
 
Please dont acronymise that filth guy EL because EL is synonym to GOD! How can such filth guy bear such a sanctified name just call him EdL please!

i think its Eli not EL,dig deep uje na evidence on this.
 
Mbona ilisemekana Lowassa amemtanguliza Millya Chadema, au mamvi ameghairi kujiunga chadema?
 
CHADEMA kweli ni UMA tena yakulia chipsi,Chama Cha Wachache wanaojipa madaraka kiundugu kimapenzi na Kihawara,Chezea CCM wewe chama cha Watanzania wa Matabaka yote

Na bado mtatoka mapovu mpaka kwenye masaburi yenu....
 
Huwa nashangaa sana hivi James Ole Millya analipi jipya atakalofanya ndani ya CCM Mkoani Arusha kwa sasa ambalo alishindwa kulifanya wakati huo? Tuwe watu ambao si wanafiki na washabiki kwa mambo ambayo hayana msingi huko aliko hamna mchango wowote wa maana alioutoa ni matatizo matupu!

Huyu si aliitwa oil chafu na nepi?akaambiwa katafuna pesa ya pango ya jumuiya,akirudi hatakuwa tofauti na changudoa wa uwanja wa fisi.
 
Back
Top Bottom