wakatoliki sometimes ni wadini sana, sijui kwanini walikuwa hamtaki muislamu kikwete kiasi kile, hadi programme ya mafunzo ya waamini wao kuhusu uchaguzi , wakitoka hapo wanasema kikwete ndo mdini!
Mwaka huu kimya!!!!! Hakuna cha waraka wala mafunzo, kama ilivyokuwa 2010
wengine wanasema wakatolili wameathiriwa sana kibiashara kwa uwepo wa shule za kata, udom, na zahanati za kata, walizoea kudominate biashara katika areas hizi alizozisimamia kikwete kwa nguvu!
Hakika mungu atamlipa jk kwa kujaribu kufuta matabaka, leo hii hassan naye anasoma kama john, rungu la mungu limeanza kumuangukia dr salaa coz ni miongoni mwa waliomsumbua sana jk hasa baada ya kushinswa kwenye uchaguzi