Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,160
- 11,228
Ajenda ya lishe kwa chama Cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA inatajwa kuwa ajenda ya kimkakati katika kuchagiza lishe Bora,akizungimza na wananchi wa kata ya Ngerengere Mkoani Morogoro wakati wa kampeni za kunadi sera za chama hicho, mgombea mwenza CHAUMMA Devota Minja,amesema CHAUMMA Inakuja na mkakati maalumu wa kuhakikisha Taifa na wananchi wake wanapata chakula Cha kutosha,Mchele kilo moja iwe shillingi mia tano (500 KG) inawezekana.