Hii miviongozi ya afrika inabidi kunyongwa tu. Inauchu sn wa madaraka! Iko tayari raia wao wafe hata wote lkn ibaki madarakani.
Nasikitika sn anayetetea viongozi wa afrika
Mijitu inayotetea ni kwa sababu tu ya rangi nyeusi lakini haina matiki yoyote kwenye hoja. Marais hao walisaini wenyewe ule mkataba(labda yalikuwa yanadhani kuna hela) alafu ni mirais mikatiri sana, sasa sijuhi ulalamishi unatoka wapi inapokamatwa kwa kuuwa wananchi wao? suala la Bush atakamatwa lini ndio hoja zewenyewe mfu hizo,wewe mfano huyo Bashir kafanya mauaji dafur eti aachiwe tu kwa sababu Bush hajakamatwa? Kama nchi za Afrika (zile zilizosaini utambuzi wa mahakama hiyo)zina ubavu msiombe na misaada kwa wazungu tuone, shenzi kabisa.