Minister Sospeter Muhongo: THE ARROGANT


Nani kasema ni lazima iwe Mtanzania mmoja? Watanzania wakiambiwa waungane hawataki ndiyo license ya kuwatukana?

Kwa nini usitoe fursa, tangaza tenda,waachie wa submit bids, then unawakatalia on the merit? Na kuacha hizi discouraging rhetoric?
 
$430 billion mTanzania gani anazo???
Mkuu,
Mbona ulichoandika hapa na kilichosemwa hapo chini vinapishana!
Prof Sospeter Muhongo, ruled out any possibility of giving any favours to locals, ostensibly to facilitate their participation in the emerging sector valued at $430 billion.

Haya makampuni yanaraise funds kutoka reports zao labda Ukiondoa makampuni makubwa kama Shell,Bp and the like ndio wanaweza kuwa na capitals za kujitosheleza.
Kwenye hii biashara kuna harufu ya umafia.Wanajuha wazawa wakiwekeza mambo mengi yatajulikana.
 
labda a food for thought tujiulize wananchi wa chunya mbeya wamefaidika nn na dhahabu iliyochimbwa pale enzi za utawala wa kiingereza?? kulikua na gold rush chunya miaka ya 1920's i bet watanzania wengi hata hawajui kwamba chunya kulikua na dhahabu ya kufa mtu lakini leo yako mashimo na umaskini uko pale pale, ile dhahbu nzuri na kwa wingi yote ikabebwa sasa ivi kuna wachimbaj wadogo wadogo tu ndio maana kina nyerere kwa mfano wa chunya wakaamua madini yabaki ardhini mpaka tutapojenga capacity lakini leo kina muhongo na kiburi chao chote wanataka kuturudisha enzi zile za dhahabu ya chunya!!!
 
Nimecheka sana!
 
muhongo lazima awapigeni sana fimbo za mgongo. utendaji wake uliotukuka ndio mwiba kwenu

Mkuu, hawa jamaa ndio zao. Hivi kwa nini hawakubali uwakilishi wa TPDC? Wanataka wafanye ya kwao binafsi. Mwenye uwezo wa kushiriki na ashiriki hakuna aliyewazuia. Tatizo wanataka upendeleo maalum ili baadae walangue hivyo vitalu.

Wakati wa kubinafsisha Kilimanjaro Hotel Mengi alipiga sana kelele. Akapewa eneo zuri katikati ya mji ajenge hiyo hotel akaishia kuuza tena kwa hao anaowaita mapapa wa rushwa.

Anamiliki vitalu vingi vya madini kupitia kampuni zake kadhaa na hakuna maendeleo yoyote zaidi ya kulangua vitalu hivyo.
Sospeter Muhongo ni msomi na mwadilifu na lazima aonekana ana kiburi mbele ya wapenda dezo kama Mengi.

Tunataka gesi na mafuta vinufaishe watanzania wote sio wachache waliopendelewa. Wakisha shiba hizo hela ndio yale makombo wanakuja kulisha walemavu pale Diamond Jubilee.
 

Karibia makampuni yote yaliyopewa vitalu zaidi ya makampuni makubwa kama BP,Shell,Statoil yanaviuza hivyo vitalu.

Kama makampuni ya nje yanafanya hivyo kwa nini tuwazibie Watanzania wenzetu au ndio roho ya kwanini?
 
Tatizo ni serikali ya ccm kukurupuka kwenye gas na mafuta kama ilivyokurupuka kwenye katiba.
Mpaka sasa gas yote imechukuliwa na makampuni yafuatayo:
1. STATOIL YA SERIKALI YA NORWAY
2. BRITISH GAS SERIKALI YA UINGEREZA
3. EXXON MOBILE SERIKALI YA AMERIKA
4. PETROBRAS SERIKALI YA BRAZIL
5. ALBBURTAN PRIVATE -AMERICAN
6. OPHILS PRIVATE AMERIKA
Na ujenzi wa Bomba la kusafirisha gas kwenda Dubai limeishapita Somaria katika bahari ya hindi. Porojo za muhongo kuwa watanganyika hawawezi ni danganya toto mzigo umegawanywa na umekwisha.
Serikali ilijidanganya kuanza kuuza vitaru kabla ya kusomesha wataalam wa gas na kwa hali hii itakuwa kama dhahabu na madini mengineyo kanda ya ziwa na kwingineko. KAGARABAHO!
 
Kuna mitakataka ya kutosha humu jf. Mungu tusaidie....
 
Tatizo la elimu ndogo ya shule na vyuo vya kata ndio maana hujui mzee Mengi anapigania nini!
Watanzania hawajui Mengi anapigania mini,tujulishe basis we uliye tarishi wake anachopigania.kifupi mwenye Mali anajua anachopigania,Mimi nawe sijui tunachopigania,wake up be.
 

Tabia ya kuendelea kudharau watanzania ndiyo chanzo cha kuendelea kuwa tegemezi leo kesho na kesho kutwa.
Wazungu wanakuja kuwekeza nchini wakiwa na kaunta buks tu na makablasha ya maandiko ya miradi wanarudi kwao na bilions of shilings....

Bad inaf wanakuja hawana capital wanakopeshwa na banks za nchini....

Leo mtanzania akidai kuendesha kitaru watu mnakuja juu....shame on yu all walafi na msioona mbali...

I pray Muhongo doesnt make it from Ripoti ya Escrow account saga.
 
Energy and Minerals
minister Sospeter Muhongo yesterday
heightened the rift between the
executive and the legislative arms of
government by reiterating that his
ministry will not submit the oil and
natural gas production sharing
agreements (PSAs) for scrutiny by the
Public Accounts Committee.
 
I wish nimwone huyu Muhongo kwenye cabinet meetings...

atakuwa anawaburuza wenzake sana mbele ya JK

For your information.he the most arrogant minister this country has ever had. He is just learned but not educated cause he can never cope with anybody because of his arrogance.
 

By the way, who does he think he is? And who is this Mr Minister working for? I would wish to know.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…