Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,271
- 2,645
Ndugu zangu wana jf, hebu tushauriane. Hivi ukiwa Mining engineer tofauti na mgodini kunasehem gani tena unaweza kuajiliwa? Coz kuna mdogo wangu amehtm f6 mwaka jana(PCM, matokeo mazuri ila hakuaply na anafanya hvyo mwaka huu). Anaonekana kupendele ksoma mining engineering. Mi nataka nimshauri aachane nayo maana naona kma hailipi kwa sasa. Nyinyi mnanishauri vipi? Tusaidiane jamani