Mining engineer

Engager

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
1,271
2,645
Ndugu zangu wana jf, hebu tushauriane. Hivi ukiwa Mining engineer tofauti na mgodini kunasehem gani tena unaweza kuajiliwa? Coz kuna mdogo wangu amehtm f6 mwaka jana(PCM, matokeo mazuri ila hakuaply na anafanya hvyo mwaka huu). Anaonekana kupendele ksoma mining engineering. Mi nataka nimshauri aachane nayo maana naona kma hailipi kwa sasa. Nyinyi mnanishauri vipi? Tusaidiane jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom