Habari wakuu, Nina digrii ya uhandisi wa uchimbaji madini (BSc Mining Engineering).
Nina uzoefu katika;
-kufuatilia utendaji wa mitambo
-kuhakikisha usalama kazini
-Nina uelewa mzuri wa matumizi ya programu kama Surpac, Datamine, na AutoCAD
-Stadi za uchambuzi na uandaaji wa taarifa za kila siku
-Kuratibu uendeshaji wa machimbo
-Ulipuaji wa baruti na uhifadhi salama wa baruti
Kwa sasa natafuta fursa yoyote ya kazi inayohusiana na uhandisi wa migodi au shughuli za uzalishaji kwenye machimbo/migodi. Niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote nchini.
Natanguliza shukrani.
Nina uzoefu katika;
-kufuatilia utendaji wa mitambo
-kuhakikisha usalama kazini
-Nina uelewa mzuri wa matumizi ya programu kama Surpac, Datamine, na AutoCAD
-Stadi za uchambuzi na uandaaji wa taarifa za kila siku
-Kuratibu uendeshaji wa machimbo
-Ulipuaji wa baruti na uhifadhi salama wa baruti
Kwa sasa natafuta fursa yoyote ya kazi inayohusiana na uhandisi wa migodi au shughuli za uzalishaji kwenye machimbo/migodi. Niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote nchini.
Natanguliza shukrani.