Huwa wana-share na minara ya makampuni mengine ambayo ina-exist.
Wengine wanafanya kama vile huduma ya roaming. Mfano wewe uko tigo ukienda Uganda unawezakuwasiliana na mimi tigo japokua kule Uganda Tigo hawana minara yao. Ki2 kama hiki waliki2mia sana hawa Zantel walipoanzakuingia bara, na walifanya dili hilo na VODACOM.