Minara ya Halotel yahatarisha usalama wa ndege

Minara ya Halotel yahatarisha usalama wa ndege

Halotel ameshaanza kuwa tishio hivyo wabaya wake wanaleta fitina! Kwa kasi hii ya internet Voda,tigo na airtel mtasubiri sana. Voda MPESA,Tigo-Tigopesa,Airtel-calls&sms. HALOTEL for internet!

Luna v-money mkuu *150*88# yaani hapa no kuchapa
 
Watz kwa ujuaji hamjambo....
70m kwa hapa dar bado sijakutana nayo mkuu.... Kuna mita 70 pale zenji ni hataree ukipanda juu unaona ngoma inaanguka...

Anyway are you involved in this field au unaongea kwa ujuZi tu?

Mkuu, si kwamba najifanya kujua, nipo kwenye hiyo industry tangu June 2006 .. Hakuna mahala nimetaja DAR mkuu.... AU wewe mtu akisema uraiani unaelewa kuwa ni DAR..??
 
Mzalendo yupo madarakani kwa sasa, VIVA MAGUFULI, VIVA TTCL. Just wait hadi kesho jioni ndio mtaona namna HALOTel atavyotupwa kule na TTCL kwa dar
 
Back
Top Bottom