2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,458
Kweli naamini mpinzani mpinzani tu,hata anaweza kupingana na mama yake kuhusu baba yake halisi.
Mimi sio mwanasiasa,sina chama ni staff. Tujikumbushe Gwajima alikua wapi wakati anamshambulia mzee Pengo,katika utawala wa Kikwete Gwajima alikua mnazi haswa wa upinzani. Kilichofanya amshambulie Pengo ni kwenda kinyume na makubaliano ya maaskofu wote Tanzania.
Kilikaa kikao kuhusu waraka mzito kwenda kwa serikali iliyokuwa chini ya JK baada ya kuafikiana ikaonekana askofu Pengo ni msaliti ndipo Gwajma akamchana live.
Kitendo kile kilifurahisha sana wapinzani waliokuwa wanategemea viongozi wa dini kufikisha kilio chao serikalini. Leo wapinzani mkimshambulia Gwajima nitashangaa sana au kisa yuko upande wa pili?
Mimi sio mwanasiasa,sina chama ni staff. Tujikumbushe Gwajima alikua wapi wakati anamshambulia mzee Pengo,katika utawala wa Kikwete Gwajima alikua mnazi haswa wa upinzani. Kilichofanya amshambulie Pengo ni kwenda kinyume na makubaliano ya maaskofu wote Tanzania.
Kilikaa kikao kuhusu waraka mzito kwenda kwa serikali iliyokuwa chini ya JK baada ya kuafikiana ikaonekana askofu Pengo ni msaliti ndipo Gwajma akamchana live.
Kitendo kile kilifurahisha sana wapinzani waliokuwa wanategemea viongozi wa dini kufikisha kilio chao serikalini. Leo wapinzani mkimshambulia Gwajima nitashangaa sana au kisa yuko upande wa pili?