Heheheheh naona uko kazini . . . . . . . . . . . . . . . . . . .
Gari zuri? Hela nyingi mmmmmh?
Jamani jf imeanzisha biashara nyingi aisee
Title imejieleza,
Vigezo na masharti vizingatiwe:
-Awe kuanzia mid 30 lkn Serengeti Boys pia watafikiriwa depending na mtu atakavyojinadi
-Awe tall
-Awe intelligent and open minded
-Awe mascular
-Asiwe diabetic
-Awe na gari zuri
-Awe na fedha za kutosha za matumizi yetu na asiwe selfish
-Awe tayari kutumia kinga siku zote
Unaweza kuapply live hapa na ukajibiwa au kwa PM zinakaribishwa ila si zote zitajibiwa.
-MBAs pia wana-equal chances in the selection
Leteni kejeli zenu sasa,can't wait.
Nina wasiwasi hii I'd ni ya kidume!!!
Nina wasiwasi hii I'd ni ya kidume!!!
na starlet si ni gari zuri??
Nina hela nyingi sana, nina shilingi moja moja milioni moja, nabebea kwenye toroli.
Awe inteligent and open minded!
And you?