Mimi ningekuwa Ayatollah Ali Khamenei

Mimi ningekuwa Ayatollah Ali Khamenei

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
5,608
Reaction score
7,167
Mimi ndio ningekuwa yeye,ningeufyata mapema,ningejiuzulu na kuwaachia wananchi kuchagua viongozi wanaowataka.Ningeisalimisha nchi kipigo chote hiki na kusalimisha nchi kuharibiwa.Sasa angalia watu wanakufa,viongozi wote wanauliwa kila siku na nchi inabomolewa na watarudi nyuma miaka 100 na sijui kama hiyo nchi itakuja kutengemaa.Viongozi wa Irani wanajua kuwa hawana nguvu za kijeshi wala za kiuchumi za kushindana na Marekani,yanini wamejiletea maafa makubwa kwa nchi yao?
 
Mimi ndio ningekuwa yeye,ningeufyata mapema,ningejiuzulu na kuwaachia wananchi kuchagua viongozi wanaowataka.Ningeisalimisha nchi kipigo chote hiki na kusalimisha nchi kuharibiwa.Sasa angalia watu wanakufa,viongozi wote wanauliwa kila siku na nchi inabomolewa na watarudi nyuma miaka 100 na sijui kama hiyo nchi itakuja kutengemaa.Viongozi wa Irani wanajua kuwa hawana nguvu za kijeshi wala za kiuchumi za kushindana na Marekani,yanini wamejiletea maafa makubwa kwa nchi yao?
Kosa lake nini? Walikua kwenye mazungumzo na wamekaribia kufikia makubaliano ndio Israel na US wakashambulia na sio tu walimuua yeye ila na vita ikaanzia hapo hapo.

Kama Khemenei ndio tatizo si walishamuua? Kulikua na haja gani tena ya kuendeleza mashambulizi?

Ndio utagundua nia yako haikua kumuua Ayatollah ila walitaka kuivamia na kuivuruga Iran ili wakiweka serikali yao ya kibaraka Shah Pahlavi basi wajichotee tu mafuta na gesi.

Hao wanaodhani US iko hapo kuwasaidia waandamanaji kuchukua nchi wanajidanganya tu. Watawaachia pale tu wakiigeuza nchi yote majivu kama Libya.
 
Kosa lake nini? Walikua kwenye mazungumzo na wamekaribia kufikia makubaliano ndio Israel na US wakashambulia na sio tu walimuua yeye ila na vita ikaanzia hapo hapo.

Kama Khemenei ndio tatizo si walishamuua? Kulikua na haja gani tena ya kuendeleza mashambulizi?

Ndio utagundua nia yako haikua kumuua Ayatollah ila walitaka kuivamia na kuivuruga Iran ili wakiweka serikali yao ya kibaraka Shah Pahlavi basi wajichotee tu mafuta na gesi.

Hao wanaodhani US iko hapo kuwasaidia waandamanaji kuchukua nchi wanajidanganya tu. Watawaachia pale tu wakiigeuza nchi yote majivu kama Libya.
Najua kabisa uliyosema yote ni kweli lakini angewawahi kujiuzulu kwani haya walikuwa wanajua kuwa trump nia yake ilikuwa khamenei na utawala wake waondoke
 
Back
Top Bottom