Mimi nina ushuhuda kwa wanaume

Binti tz

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2026
Posts
421
Reaction score
861
Mimi nimeweza kukaa bila kushiriki tendo la ndoa toka kuzaliwa hadi sasa nina miaka 30 na sijafa. kunao wanaosema wanaume hawawezi kukaa bila ngono ila huo ni uongo.

Mimi nimeweza kuishinda tamaa ya mwili ata wewe unaweza. ata saiv nilipo sina demu na ninaishi sitaki usinzi kabisa.nasubiria hadi wakati mwafaka.
 
Una matatizo makubwa ya afya.....sio kila kufanya tendo ni uzinzi....tendo ni tiba ya akili pia kupunguza msongo wa mawazo, kufanya balance ya protini mwilini....
 
Miaka 30 huijui papuchi? Wewe una matatizo bna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…