Mimi ni mwanafunzi wa Chuo, nipo mwaka wa 3! Natafuta kazi yoyote

Kwa kuangalia tu ww una asili ya uvv..shule zote hizo dar...mie nimekaa dar 1 month..kuna katoto nikawa naishi nako kao form1..hakajui kbs hesabu.nikaanza kukafundisha kila siku nkitoka kwenye mishe.kifup akawaleta wenzake wa4.ww unashindwa nn kutafta?tena masomo ya science unalamba bingo.fanyia hapo hpo unapoishi...tafuta denti 1 mfundshe ataleta na wengine
Hata Mimi pia nimewaza kitu Kama hicho mkuu.
Kufundisha tuition sio kazi official inategemea tu kujiongeza kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha papara na tamaa za kimaisha kijana ,soma kwanza hayo mengine yatafuata baadaye.
Asante mkuu kwa ushauri, ila tunatofautiana mkuu kila mmoja ana uniqueness yake na binadamu hawawezi fanana attitudes kwasababu kila mmoja ana kusudi lake katika hii dunia, kile ambacho ni sahihi kwangu kwa mwingine siyo sahihi na kile ambacho ni sahihi kwako kwa mwingine siyo sahihi, mkuu maana yangu ni moja sitaki kuanza maisha baada ya chuo nataka kuendeleza maisha baada ya chuo, so ili nifanikishe inanibidi kujiongeza kwa kutambua mazingira yangu binafsi, wajibu wangu kwa wakati husika. Nilianza kwa kutype na kuprint assignment za wanafunzi wenzangu pale chuoni kwa kulipwa na haikuharibu chochote tokea mwaka wa kwanza mpka mwaka wa pili, sijaona madhara yake coz nilielewa kuwa total commitment ndio kila kitu huku ukiwa na high self determination.

So mkuu suala la kusoma na kufanya kazi naelewa madhara yake na changamoto zake na ndio maana najiona kuweza kufanya vyote coz what matter is personal management and not otherwise.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda pale mwenge mapambano Kuna tuition centres nyingi sana,ukijieleza vizur watakuelewa tu na watakupima uwezo wako Kama unajua.
Otherwise labda uwe kilaza ndio watakunyima kufundisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asije akakosa akajiona kilaza. Tuition centre kubwa kubwa kwa Dar kama mwenge kupata mchongo ni kazi. Labda uwe maarufu au unafahamiana na wadau pale.

Njia rahisi ni kuanza na watoto wa anapoishi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asije akakosa akajiona kilaza. Tuition centre kubwa kubwa kwa Dar kama mwenge kupata mchongo ni kazi. Labda uwe maarufu au unafahamiana na wadau pale.

Njia rahisi ni kuanza na watoto wa anapoishi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achani mawazo ya kizembe bhna.jamaa anachotak nimishe ya chap .yakumuwezesh kufosi vi sh kumi kadhaa mtaan.asa maswala yakuanzs kuhangaik na vitot vya shule huoni km nimlolongo mmj.na hustle nyngne.itayotake a time.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalime mkuu likizo ndefu usibabaike na pesa za wanafunzi.. Kalime kilimo cha bustani cha kumwagalia mchicha week 3 unaweza kuvuna...
 
Jiunge na dent uuze vocha bure https://jamiiforums.com/r56SdaG1UX pia tafta sehem za field zinazolipa au temps hata za migaawani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom