Mimi ni mwalimu wa English na History, natafuta kazi

Kwa uzoefu wangu vijana wanapoenda kutafuta kazi huwa wanakuja mikono nyuma acha wapate uone timbwili lake.

Kuna jamaa nilimkabidhi kamera ili awe anapiga picha na kuja kusafisha katika studio yangu,mwanzoni alionekana kuwa makini alipozoea akaanza kula hela za wateja na matokea yake nikawa nafuatwa mimi na kudaiwa

Hebu fikiri mtu umempa kamera bure ,picha anapigia sh 1000/=,na mimi kama mmiliki wa studio namsafishia kwa shilingi 300 kwa picha ,hivyo yeye anabaki na shilingi 700 kama faida lakini anaona haitoshi,hapo hapo kwa siku hakosi picha 10+
 
Maneno uumba, usiumbe vitu usivyoviitaji.
Hizi porojo za kukariri hizi,kwahiyo ukisema nataka nipate Vogue,au VX,au jeep,mara paaap,vinatokea?!!
Hivi unajua kwamba haijalishj umesoma vitabu vingspi vya ujasiriamali,umesikiliza motivational speakers wanagapi?sio kila mtu katika maisha yake hapa duniani atakuwa Kama Bakheresa,Mengi,au Dangote,
Kuna kiwango utafikia Cha mkwanja na hapo ndio Basi uwezi zidi,mpaka unakufa.ila haimaniishi,kwamba vitabu ulivyosoma havipo sahihi,hiyo ndio Fact of life,sio kila mtu anaweza kuwa Kama Diamond,au Ali Kiba,mbona wengi walitangulia na hawajamfikia,na atazaliwa mwingine aje awe zaidi mara kumi ya Mond,sio kila mtu anaweza kuwa Kama Bakheresa,au Mo,au Bill Gate,hata ukisali 24/7 siku 365!!it will not fucking happen,that is life.utafika pale umapotakiwa Kufika period.
 
Wakuu habari,

Mimi ni kijana niliyemaliza shahada ya ualimu katika taasisi kubwa sana hapa Tanzania mwaka 2018. Nina umri wa miaka 27 mpka sasa hivi.

Hivyo nipo mbele yenu kutafuta kazi mahali popote hapa Tanzania ikiwa ndani ya fani yangu au nje ya fani yangu.

Kwa sasa napatikana Mwanza, ila mahali popote naweza kuja kwani hali sio nzuri huku mtaani pia kukosekana kwa mtaji ili niwezwe kujiajiri ndo inanisababisha niombe kazi hapa.

Karibuni kwa ushauri pia. Naweza kufanya kazi yeyote ile.
Kwanza nakuombea kwa Mungu upate ajira hii insha'Allah.
Pili naomba sana tena sana huu uzi utafsiri kwa lugha kiingereza. Halafu we take it from there.
 
Kwanza nakuombea kwa Mungu upate ajira hii insha'Allah.
Pili naomba sana tena sana huu uzi utafsiri kwa lugha kiingereza. Halafu we take it from there.
If u have work extremely I'm ready for interview any time.
 
Kwa uzoefu wangu vijana wanapoenda kutafuta kazi huwa wanakuja mikono nyuma acha wapate uone timbwili lake.

Kuna jamaa nilimkabidhi kamera ili awe anapiga picha na kuja kusafisha katika studio yangu,mwanzoni alionekana kuwa makini alipozoea akaanza kula hela za wateja na matokea yake nikawa nafuatwa mimi na kudaiwa

Hebu fikiri mtu umempa kamera bure ,picha anapigia sh 1000/=,na mimi kama mmiliki wa studio namsafishia kwa shilingi 300 kwa picha ,hivyo yeye anabaki na shilingi 700 kama faida lakini anaona haitoshi,hapo hapo kwa siku hakosi picha 10+
Kweli kabisa mkuu,ila nna hukaki watu wote sio sawa..Mimi nipo vizr sana pia nnaheshim kazi za watu.
 
Kwa tangazo hili ni vigumu kwa mtu mwenye uhitaji wa mwalimu wa sifa zako kukuchukua wewe. Kwanini?
1. Taasisi kubwa sana hapa nchini ndo nini???!
2. Unaonekana hauko passionate na ualimu.
3. Kimsingi kutokana na maelezo yako unataka kuwa mwalimu ili upate mtaji tu then uendelee na michongo yako.
NB: Inawezekana uko sahihi ila hukutakiwa kuonesha hizo hisia kwa mteja wako.
 
Kwa tangazo hili ni vigumu kwa mtu mwenye uhitaji wa mwalimu wa sifa zako kukuchukua wewe. Kwanini?
1. Taasisi kubwa sana hapa nchini ndo nini???!
2. Unaonekana hauko passionate na ualimu.
3. Kimsingi kutokana na maelezo yako unataka kuwa mwalimu ili upate mtaji tu then uendelee na michongo yako.
NB: Inawezekana uko sahihi ila hukutakiwa kuonesha hizo hisia kwa mteja wako.
Asnte kwa ufafanuzi wako, itakuwa ndo ulivyofikiria lakini sipo hivyo kabs
 
Ushanitest ukaona sijui...kama unataka kunichallange njoo DM ujionee
Humu kuna wazinguaji tu.
mr kama una kompyuta tengeneza kozi za kufundisha kiswahili halafu ziuze UDEMY.

Promote kozi yako kwa kujibu maswali yanahusiana na kiswahili quora, tripadvisor na reddit.
Inaweza chukua muda,
lakini wakati ukitafuta kibarua jaribu pia hii.
 
Humu kuna wazinguaji tu.
mr kama una kompyuta tengeneza kozi za kufundisha kiswahili halafu ziuze UDEMY.

Promote kozi yako kwa kujibu maswali yanahusiana na kiswahili quora, tripadvisor na reddit.
Inaweza chukua muda,
lakini wakati ukitafuta kibarua jaribu pia hii.
Call a spade spade brother/sister
Siku hizi vijana wengi si watu wakuingia vitu deep.
Huyo mtaalam wa Lugha aka English. Hata kutengeneza sentensi moja ya kingereza hawezi vizuri. Yote hii ni siku hizi watu wanabweteka. Yaani mtu amesoma lugha utakuta anasahihishwa na Engineer ambae lugha yake aliisomea kwenye masomo tu sema alikua anaenda Deep ku soma vitu na kufatilia. Extra mile stuff and the like.

Sawa si mkatishi tamaa ajira atapata insha'Allah lakini kwa nini awe aibu mbele za watu na taaluma yake?

Mnavyowapeti peti vijana wa siku hizi ndi maana wamekua mayai mayai tu ukimgombeza anachukua kamba anajinyonga. We have got to be tough on 'em at times.
 
Humu kuna wazinguaji tu.
mr kama una kompyuta tengeneza kozi za kufundisha kiswahili halafu ziuze UDEMY.

Promote kozi yako kwa kujibu maswali yanahusiana na kiswahili quora, tripadvisor na reddit.
Inaweza chukua muda,
lakini wakati ukitafuta kibarua jaribu pia hii.
Asnte mkuu!
 
Anzia hapa kwenye lugha kwanza. Nashindwa kuamini wewe ni Mwalimu wa English. (I'm trying to give you positive criticism)
You’re not ...you just want to show audiences his incompetence to prove that he doesn’t deserve... Hater!
 
[QUOTE
You’re not ...you just want to show audiences his incompetence to prove that he doesn’t deserve... Hater!
Yes I'm not.... only if he took my crisism negatively the way you did.
After all it is all in his mind. If he always sees the positive side of things he is bound to succeed.
By the way he is the one and I repeat the only one capable to determine whether he deserves the best or otherwise. Keyword here is MINDSET in cap letters.
I'm a tough dude especially to those sorroundig me. That's how my dad brought me up. I gave him the favour, criticism, which I rarely do to those that aren't my friends and acquaintances.
Next....?!👈
 
Wakuu habari,

Mimi ni kijana niliyemaliza shahada ya ualimu katika taasisi kubwa sana hapa Tanzania mwaka 2018. Nina umri wa miaka 27 mpka sasa hivi.

Hivyo nipo mbele yenu kutafuta kazi mahali popote hapa Tanzania ikiwa ndani ya fani yangu au nje ya fani yangu.

Kwa sasa napatikana Mwanza, ila mahali popote naweza kuja kwani hali sio nzuri huku mtaani pia kukosekana kwa mtaji ili niwezwe kujiajiri ndo inanisababisha niombe kazi hapa.

Karibuni kwa ushauri pia. Naweza kufanya kazi yeyote ile.

Pole. Sasa kuwa na JAMBO LAKO tarehe 28/10/2020.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom